Rais wa Iran Ebrahim Raisi aaga dunia kwenye ajali ya ndege
46.2 هزار بار بازدید -
4 هفته پیش
-
Uchaguzi wa rais mpya wa
Uchaguzi wa rais mpya wa Iran utafanyika baada ya siku hamsini. Hii ni kufuatia kifo cha aliyekua rais wa Iran Ebrahim Raisi ambaye alifariki hapo jana kwenye ajali ya ndege.
4 هفته پیش
در تاریخ 1403/02/31 منتشر شده
است.
46,215
بـار بازدید شده